Pages

Wednesday, November 30, 2016

USILOLIJUA

  
1.Tembo pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisaa,miguu yake kwa chini nikama ina sponji
2.Tembo ana uzito wa tani 7
3`Tembo jike hubeba mimba miaka 2.
4`Tembo mtoto huzaliwa akiwa na  kilo 80
5.Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
6.Uume wa tembo una kilo 27,ukimuona wakati anafanya mapenzi kwa nyuma unaweza hisi ana miguu mitatu.
7.Ni moja ya wanyama ambao hawapendi kelele.
8.Wastani wa umri wake wa kuishi ni miaka 60
9.Tembo hufanya mapenzi kwa masaa 12,masaa 6 ya mwanzo huyatumia kumuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndo shughuli yenyewe huanza.na hiyo ni raundi ya kwanza(bao la kwanza
10.Tembo dume hua na wanawake 2 mpaka 4
11.Akipiga bao tembo dume manii zake ni ujazo wa lita 5

HAHAH UKIAMBIWA USIMUIGE TEMBO UWE UNAELEWA MAZEE
                                                                                                     (Wali nazi)

No comments:

Post a Comment