wali nazi anaripoti kua, mkasa huo umempata baada ya kutishia kuachia video na mapicha aliyowahi kupiga na mrembo wetu Wema Sepenga enzi ya penzi lao,,,,
SWALI??
Sasa sijui homa ya kuachwa bwana mdogo huyu ndo anaamua kutoa siri??
Au ndo kutafuta KICK????
Angekua mwajuma wa magurumbasi ungerusha???
KUTOKA KWANGU
Dogo huo ni ushamba yaani sawa unapata umaarufu lkn mwisho wake nn?
una lolote la kuchangia kuhusu UBUYU HUU
Tiririka mwana wane.........

No comments:
Post a Comment