Pages

Tuesday, November 15, 2016

HONGERA MBOWE

Shirika la kutetea haki za binaadamu la human right watch,
 limemtaja kiongozi wa upinzani Mh.Freeman Mbowe kua ni mwenyekiti wa kwanza Africa wa chama asiepokea mshahara ndani ya chama chake na pia ametajwa kua ni kiongozi alieleta mageuzi makubwa ya kisiasa Tanzania na anaeendesha shughuli za kisiasa pasipo kuvunja HAKI za BINAADAMU

                     Chanzo:CNN



                             https://pbs.twimg.com/profile_images/639775354144616449/8hEm1-Kj.jpg                                                   (Mh. freeman Mbowe katika pozi matata)

No comments:

Post a Comment