Pages

Tuesday, November 15, 2016

ILIYOBAMBA

Safi sana mdada,,,haya ndo tunayataka badala ya kashfa au kujichafua kwa tabia chafu mtaani,kuvuta unga,bangi na umalaya
hasira unamalizia kwenye shule,familia na kutafuta chapaa.
Hongera kwako KEYSHA kwa kupata MTOTO WA 3 na SHAHADA ya UNUNUZI na UGAVI(bachelor degree in procurement and supplies management) pamoja....mlee mtoto wako kwa malezi na maadili yanayompendeza Munguhttp://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/11/KEISHA44.jpg

No comments:

Post a Comment