Thursday, October 15, 2015
HATIMAE SASA WAKUBALI!!!!!!
Kulikua na maneno meeeengi!!!wakubwa waliotutangalia walishaona dalili,,,wakasema kuna kitu kinachoondelea lkn bi dada SHAMSA FORD(bongo movie) na mkaka NEY WA MITEGO(bongo fleva)wakajitahidi kutumia nguvu nyingi kukanusha kua hawali tunda la kati!!!!!ahhahaah walokua wanaojua ukweli walichill ki aina...Lkn upande wa magazeti hatari mtaan yakabwaga ukweli,,,watu wachague mchele na chuya,,,,,.!!!watoto hawa 2 wa mjini bado walizungushia ukuta wa shaba katika mahusiano!!!!lkn mwisho wa siku walitii amri ya mapaparaz hahahahhaha uwiiiii wakafungua milango wakatoa ya moyoni kua wao SHAMSA NA NEY NI WAPENZIIIIIII!!!!!!!!!!!
KUTOKA KWANGU MIMI COLETHA NAWATAKIA KILA KHERI KATIKA MAHUSIANO YENU!!ILA BI DADA UCJISAHU SANAAA!!maaana mhhh bwa kaka aeleweki...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment