Jamani ifikie mahali inabidi tuwaachie maisha yao,,wallahi tena maana kila kona sa hivi ni mtoto wa platnam tu!!!!!!wako watu huko mikoani mpaka mitaa ya hapa dar wanaamini wazi kua tiffa si mtoto wa platnam INAKERA UJUE??
Mtoto mbona anaonekana kabisa wa platnam huyo??af hata kama c wake walimwengu mntaka nn?yeye mwenyewe kashasema kua TIFFA NI DAMU YAKE??ushahidi gan tena mwataka?kwa navyojua ki Africa baba akikubali mtoto hakuna mwingine wakupinga!!!!!!!lkn duhh jamaa hata kama antaka KICK bac nafikiri inamtesa hii maana huko uswahilin kuwabadilisha kua TIFFA C MWANA WA PLATNAM ni ngumu juzi nipo saloon nakuta watu mpaka wantaka pigana kisa wanasema platnamu analea mtoto c waake ahhhhh jaman!!!!!!!!!yanawahusu nn?fanyeni yenu bac
yeye ndo kashatambua kua TIFFA ni wa kwake!!!!!!!!!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment