Pages

Thursday, October 15, 2015

HATIMAE SASA WAKUBALI!!!!!!




Kulikua na maneno meeeengi!!!wakubwa waliotutangalia walishaona dalili,,,wakasema kuna kitu kinachoondelea lkn bi dada SHAMSA FORD(bongo movie) na mkaka NEY WA MITEGO(bongo fleva)wakajitahidi kutumia nguvu nyingi kukanusha kua hawali tunda la kati!!!!!ahhahaah walokua wanaojua ukweli walichill ki aina...Lkn upande wa magazeti hatari mtaan yakabwaga ukweli,,,watu wachague mchele na chuya,,,,,.!!!watoto hawa 2 wa mjini bado walizungushia ukuta wa shaba katika mahusiano!!!!lkn mwisho wa siku walitii amri ya mapaparaz hahahahhaha uwiiiii wakafungua milango wakatoa ya moyoni kua wao SHAMSA NA NEY NI WAPENZIIIIIII!!!!!!!!!!!
          KUTOKA KWANGU MIMI COLETHA NAWATAKIA KILA KHERI KATIKA MAHUSIANO YENU!!ILA BI DADA UCJISAHU SANAAA!!maaana mhhh bwa kaka aeleweki...

UCKU MTAMUUUU!!!!!!!!!!

oyoooo wale wanaopenda mambo ya maunooo!!!! hatari tupu leo kaika UCKU MTAMU paleeeee CLUB 71 KIBO COMLEX ,,,,,,,uckose raha jaman!!!!!!!!! AF DADA YENU NTAKUA NDANI YA NYUMBA !!!!!!!!!!!Karibuuu upate utamu!!!!C YA KUKOSA HIII

VIMBWANGA VYA SIASAI!!!!!!!!!




NEWS za ITV kuupokea mwili wa marehemu Mh.Kigoda jana jamani mliziangalia????Mzee wa PUSHUP ameongea na kusema kuwa marehemu dakika chache kabla ya kupelekwa ICU huko INDIA aliongea nae akamshauri jinsi ya kushirikiana na WAFANYABIASHARA na baadae Dk Kigoda akamtumia EMAIL pia kumpa ushauri kabla hajafa!!naombeni msikilizen kwenye marudio ya NEWS!!! Hapa sasa ndo kanishangaza kabisaaa nikawa najiuliza MTU WA ICU ANAWEZA KWELI KUTUMA EMAIL????HUU SI UONGO ????ndondosha maoni

MHHHH HII NGUMU KIDOGO!!!


Mara zote TANZANIA tumetawaliwa na  MARAISI wanaume hatujawahi tawaliwa na RAISI mwanamke!!!na raisi mwanaume mkewe  tumezoea kumuita FIRST LADY!!!!!Hapo chacha!!SASA IKITOKEA MAMA ETU HAPA AMBAE ANAGOMBEA URAISI KUPITIA TIKETI YA CHAMA ACT TANZANIA,,,,, (ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY)Akashinda na kua RAIS wa TANZANIA  mhhhh MUMEWE TUTAMUITAJE??????????????????????

Wednesday, October 14, 2015

HILI NALO NENO!!!!!!!!!!!!



Kuna swali moja liliulizwa na mdau kutoka MTWARA (kwenye kipindi chanel ten)aliuliza hivi
BAADA YA KUPIGA KURA MNAWAAMBIA WAONDOKE wakati baada ya kuhesabu msimamizi anatakiwa kutoka nje na kutangaza matokeo,,JE ATAWATANGAZIA AKINA NANI WAKATI HAKUNA WATU?????boooonge la swali yaan nakupongeza sana ndg yangu wewe wa mtwara!!!!! haya et wajamani kuna haja ya sisis kuondoka baada ya kupiga kura???tupia maoni yako....!

MH,, RAIS HAPA UMENICHANGANYA KABISAA!!!!!!!!!!



Kuna kipind Mlitangaza  kua wanachama wa ccm wako MILIONI 6,,juzi mkasema wako MILIONI 8
Haya sasa swali langu linalonitatiza HAWA WATU WANAORUDISHA KADI ZA CCM NA WENGI WANATEMA KIMYAMYA BADO WAKO MILIONI 6??NA MAJUZI KUONGEZEKA TENA MPAKA MILION 8?????Hapa nimevurugwa kdg naomben mnisaide jamani,,,,,,,,nimebaki njia panda

Friday, October 9, 2015

HIII SASA TOOMUCH BWANA!!!!

hiyo ni Wuanja wa SINONI jijini ARUSHA!ambapo mamilion ya wananchi wa jiji hilo walijitokeza katika mkutano huo wa  mgombea  uraisi kupitia tiketi ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO ,MH,RAISI MTARAJIWA EDWARD NGOYAYI LOWASSA alipowatembelea wana ARUSHA kuwaomba wampigie kura!!!haya sasa hayo ndo mambo ya kampeni jamani! na leo hii mchana ataungana na wanchi wa MOSHI MJINI!!!!Tuone huko nako cjui ndo kutakuwaje??MAANA NI HATARI TUPU!!wanamabadiliko wamechachamaa...,