Pages

Friday, August 5, 2016

BAADA YA TUNDU LISSU KATIBU MKUU WA BAVICHA TAIFA NAE AKAMATWA!!!!!!!!!

                                  (Katibu mkuu wa bavicha Taifa Julius Gabriel Mwita)  


Wakati  bado wapo mahakamani na hawajajua nini hatma ya mwanasheria mkuu mh.Tundu Lissu  likatokea balaa jingine la kukamatwa kwa katibu huyo mkuu wa bavicha Taifa bwn.Jullius Gabriel.  Mpaka tunaingia mtamboni bado haijaeleweka nini hasa chanzo cha kukamatwa kwake.....taarifa kamili nitawaletea
 

No comments:

Post a Comment