(Katibu mkuu wa bavicha Taifa Julius Gabriel Mwita)
Wakati bado wapo mahakamani na hawajajua nini hatma ya mwanasheria mkuu mh.Tundu Lissu likatokea balaa jingine la kukamatwa kwa katibu huyo mkuu wa bavicha Taifa bwn.Jullius Gabriel. Mpaka tunaingia mtamboni bado haijaeleweka nini hasa chanzo cha kukamatwa kwake.....taarifa kamili nitawaletea
No comments:
Post a Comment