Sunday, August 7, 2016
Friday, August 5, 2016
UBUYU WA MOTOOO!!!!!!!!!
Dah sijui nianzie wapi????????mwee maana yalikua moto hatari ilkn sasa navyosikia imebaki history uwiii yashapoa mwaya tena baridi ile hatari si kitoto,,,
hawa ndege wanana 2 hawapo tena pamojaaa,bibie wolper karudi kwa wake wa zamani,,,mhh umbea huu nicjesutwa haya wenzangu em ingieni mtaan af mniletee ubuyu ili tuongezee nyama ya story yetu,,,hahaha ruksa kusema lolote kasoro tusi
VIJANA HAKUNA MAISHA YA MKATO KIRAHISI HIVYO!!!!!!!!!!
Wasanii wa muziki wa Bongo fle va,Abdulraul Ikbar (kushoto)na Hamady Hafidh wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuuawa,,katika tukio la ujambazi lilitokea juzi huko Tanga.
Hawa jamaa waliuawa kwa kupigwa risasi na polisi katika tukio la ujambazi lililohusika na uporaji katika gari la mwalimu mmoja ambae hakujulika jina lake mara moja,,,
binafsi yangu nashangazwa vijana wadogo kama hawa kujiingiza kwenye vitu visivyofaa matokeo yake wamepoteza uhai wangali wadogo sana huku wakiacha familia zao zikiwa na majonzi tele,,,kwa sababu tu ya kupenda shortcut!!!!!
Nani aliwaambia maisha yanakua rahisi ukipiga matukio?????ndg zanguni pigen mzigo kwa nguvu muyatengeneze maisha yenu ya baadae na si kwa kukaba watu au kuiibia watu hata hao mnaowaibia pia mnwarudisha nyuma jaman,,,,af dah unapoteza maisha kwa wizi mdogo hivi?????maana bora lingekua booonge la tukio japo nalo si vizuri coz wizi ni wizi tu na haukubaliki!!!!!!!!
hayaa hii funzo kwenu kwa ubongo wa fleva wenye kazi kama ya hawa jamaa,,,na vijana wengine woote
( wali nazi)
Hawa jamaa waliuawa kwa kupigwa risasi na polisi katika tukio la ujambazi lililohusika na uporaji katika gari la mwalimu mmoja ambae hakujulika jina lake mara moja,,,
binafsi yangu nashangazwa vijana wadogo kama hawa kujiingiza kwenye vitu visivyofaa matokeo yake wamepoteza uhai wangali wadogo sana huku wakiacha familia zao zikiwa na majonzi tele,,,kwa sababu tu ya kupenda shortcut!!!!!
Nani aliwaambia maisha yanakua rahisi ukipiga matukio?????ndg zanguni pigen mzigo kwa nguvu muyatengeneze maisha yenu ya baadae na si kwa kukaba watu au kuiibia watu hata hao mnaowaibia pia mnwarudisha nyuma jaman,,,,af dah unapoteza maisha kwa wizi mdogo hivi?????maana bora lingekua booonge la tukio japo nalo si vizuri coz wizi ni wizi tu na haukubaliki!!!!!!!!
hayaa hii funzo kwenu kwa ubongo wa fleva wenye kazi kama ya hawa jamaa,,,na vijana wengine woote
( wali nazi)
KIPRE HUYOOOOO NDANI AL NAHDA!!!!!!!!!!
Mshambuliaji wa Azam Kipre Tchetche ametambulishwa rasmi katika klabu mpya ya Al Nahda ya Oman...
dah!!!!!!!!sasa sijui itakuaje maana huku Tanzania kaacha bonge la soo katika timu alokua anachezea naizungumzia AZAM FC,,,wanadai kua jamaa bado mkataba wake haujaisha wa kuitumikia timu hiyo,,,
maana bwa kaka huyu aligoma kabisaaa kujiunga na wenzake katika maandalizi ya msimu mpya kwa madai kua kachoka kucheza Tanzania,,,,
hahhahahahahah haya ngoja tuone hawa jamaa watafuata sheria au watapotezea??
dah!!!!!!!!sasa sijui itakuaje maana huku Tanzania kaacha bonge la soo katika timu alokua anachezea naizungumzia AZAM FC,,,wanadai kua jamaa bado mkataba wake haujaisha wa kuitumikia timu hiyo,,,
maana bwa kaka huyu aligoma kabisaaa kujiunga na wenzake katika maandalizi ya msimu mpya kwa madai kua kachoka kucheza Tanzania,,,,
hahhahahahahah haya ngoja tuone hawa jamaa watafuata sheria au watapotezea??
KICHUPA KIPYAAAA TOKA KWA CHEGE FT DIAMOND!!!!!!!!
Haya jaman mambo yashanoga tena,,mzigo mpyaaaaa toka kwa mabroda hawa 2 namzungumzia CHEGE CHIGUNDA(aka mtoto wa mama Saidi) na DIAMOND (aka Dangote au baba tiffa)wamedondosha bonge la nyimbo ambalo lishakua story mtaani linalojulika kwa jina la WAACHE WAOANE,,,,haya sasa cjui ndo dongo kwa nani?maana tushazoea hawa wakileta nyimbo lazima kutakua na story nyuma ya pazia
fanya kulitafuta kwenye link ipo kwenye bio ya chege(insta) af uje utoe maoni yako kama kweli hilo dude ni hatariiiiii,,,
fanya kulitafuta kwenye link ipo kwenye bio ya chege(insta) af uje utoe maoni yako kama kweli hilo dude ni hatariiiiii,,,
BAADA YA TUNDU LISSU KATIBU MKUU WA BAVICHA TAIFA NAE AKAMATWA!!!!!!!!!
(Katibu mkuu wa bavicha Taifa Julius Gabriel Mwita)
Wakati bado wapo mahakamani na hawajajua nini hatma ya mwanasheria mkuu mh.Tundu Lissu likatokea balaa jingine la kukamatwa kwa katibu huyo mkuu wa bavicha Taifa bwn.Jullius Gabriel. Mpaka tunaingia mtamboni bado haijaeleweka nini hasa chanzo cha kukamatwa kwake.....taarifa kamili nitawaletea
Wakati bado wapo mahakamani na hawajajua nini hatma ya mwanasheria mkuu mh.Tundu Lissu likatokea balaa jingine la kukamatwa kwa katibu huyo mkuu wa bavicha Taifa bwn.Jullius Gabriel. Mpaka tunaingia mtamboni bado haijaeleweka nini hasa chanzo cha kukamatwa kwake.....taarifa kamili nitawaletea
Subscribe to:
Posts (Atom)