Pages

Monday, November 16, 2015

TAHADHARI!!!!!!!TAHADHARI!!!TAHADHARI!


jana katika basi fulani ctaki kulitaja kuna wanafunzi na dokta mmoja wakisafiri toka moro kuja dar ....walikaa na abiria wengine wakiwa na magazeti ndani ya magazeti kulikua na majamani tuwe makini katika haya mabasi tunayosafiri,kuna wanafuniz na dokta mmoja wakisafiri toka morogoro kuja dar jin, walikaa na adawa ya kulevya..kila walipokua wakifungua ukurasa ndo wanavuta,,,wameibiwa kila kiitu(BAHATI MBAYA PICHA ZIMENIGOMEA)


 ANGALIZO:USIPENDE KUAZIMA GAZETI UKIWA NDANI YA GARI LA ABIRIA

No comments:

Post a Comment