Duh!!!!!!!!!!!mimi si shabiki wa mpira kabisaaaaaaaaaaa!!!!!!! lkn linapokuja swala uzalendo ndo napouweka utanzania wangu!!!! timu yangu ikicheza na nchi yeyote hua nafuatilia japo sina nnalolijua katika sanaa hii ya mpira,,,lkn huwez amini hua naumia hatari mpaka natamani kulia tunaposhindwa.
Hivi kuna nini jamani katika hawa wachezaji wetu??ina maana wao hawaumii kufungwa??au wanaona raha hawa kila cku tunavyowealalamikia?hivi lini watatupa raha tukajivunia uwepo wao?????????YAAN KAMA KUNDI LINANIUZI HAPA TANZANIA BASI NI LA WACHEZAJI MPIRA HASA HAWA TAIFA STARS!!!!!!!!!!(Nasema haya kwa uchngu hatari)
kweli lkn jamani magoli 7 kweli lkn jamani????????kweli lkn kweli lkn........
basi mimi nina wazo jamani VILE VIWANJA VYA MPIRA BORA VIBINAFSISHWE ILI WAWEKEZAJI WAFUNGUE MAMALL AU KUMBI ZA SHEREHE MBALIMBALI
TUTAPATA PESA,,,kuliko kuwaachia hawa jamaa....wallahi tena
(wali nazi)
No comments:
Post a Comment