Pages

Tuesday, November 17, 2015

BUNGE LA 11 KUANZA RASMI LEO!!!!!!

                                            Mbunge mteule wa Kongwa, Job Ndugai


Bunge la 11 linaanza leo na kutafanyika uchaguzi wa Spika wa Bunge na Majina ya watu 8 wanaowania nafasi ya uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yaliyopokelewa na katibu wa bunge Dr.Thomas Kashilila ni haya hapa.

A: Peter Sarungi (AFP)
B: Hassan Kisabiya (N.R.A)
C: Dkt Godfrey Malisa (CCK)
D: Job Ndugai (CCM)
E: Goodluck Ole Medeye (CHADEMA)
F: Richard Lymo (T.L.P)
G: Hashimu Rungwe (CHAUMA)
H: Robert Kisinini (DP)

No comments:

Post a Comment