Pages

Monday, November 9, 2015

HONGERA SAMATTA

                                (Mbwana samatta alievalia jezi nyeupe akionyesha umahili wake)

Mshambuliaji wa wa Kimataifa wa Tanzania,aliendika HISTORIA ya kuwa MTANZANIA wa kwanza kuwa mfungaji bora Afrika.  katika fainali ya pili ya ligi ya Mabingwa Afrika Samatta ameweza funga magoli 9, na kuweza kuipatia timu yake ushindi,

                                                    (Samatta katika poz)

No comments:

Post a Comment