Pages

Monday, November 9, 2015

HAYA SASA!!!!!!!!!!!




duh!!!!!!!! sasa mshikaji sijui itakuwaje?maana ulikua unaingia IKULU kama CHOO cha STAND
 Sijui na kwa huyu mh,Magufuli itakua hivyohivyo??nasubiria ili nione maana tenda za MATAMASHA ya IKULU nasikia ulikua unakamata hatari!!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment