Pages

Thursday, October 15, 2015

VIMBWANGA VYA SIASAI!!!!!!!!!




NEWS za ITV kuupokea mwili wa marehemu Mh.Kigoda jana jamani mliziangalia????Mzee wa PUSHUP ameongea na kusema kuwa marehemu dakika chache kabla ya kupelekwa ICU huko INDIA aliongea nae akamshauri jinsi ya kushirikiana na WAFANYABIASHARA na baadae Dk Kigoda akamtumia EMAIL pia kumpa ushauri kabla hajafa!!naombeni msikilizen kwenye marudio ya NEWS!!! Hapa sasa ndo kanishangaza kabisaaa nikawa najiuliza MTU WA ICU ANAWEZA KWELI KUTUMA EMAIL????HUU SI UONGO ????ndondosha maoni

No comments:

Post a Comment