Sawa!!!!!!!!!!ilikua vyema sana kama baba wa mtoto kuwepo kwenye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mtoto wake !!!!!!!!Lkn ukifikiria saaana kuna zidi ya jambo ambalo nadhan Mh. Sugu Kwa makusudi kabisa kaamua kuingia mtini katika shughuli hiii!!!!!!!!!!!!!naotea tu,,,,,inawezekana tabia zako za uvaaji mbaya ndizo zilizomtisha jamaa kutokea katika inshu hiyo!!!!!!!! maana wewe ukawii kutoa VICHWA VYA HABARI katika magazeti,,wallah tena c unaju jamaa ni mh????af yuko kwenye mbio za kutetea kiti chake kule mbeya?????haya kwa vivazi hivi MH ATAUNGANA NAWE?? si utamuharibia katika michakato yake????? maana kila party lazima uwe kituko katika jamiii... ndiyo hua unaharibu bwana.....!!!! marafiki wa mm na fans wangu semeni ukweli kwenye hili,.dondoshen poits wajamen........
(faiza katika ubora wake wa mavazi)
laana tupu!!!!!!!
No comments:
Post a Comment