Arsenal iko mbioni kumuongezea mkataba ALEXIS SANCHEZ ambae kwa msimu wa pili mfululizo ameibuka kua staa mkubwa klabuni hapo....kwa maana hiyo ni wazi REAL MADRID inammendea staa huyo baada ya kuona kiwango chake kinapanda kwa kasi.! italazimika kufanya kazi ya ziada katika kuhakikisha inamnasa staha huyo ili kutimiza ndoto zake.
No comments:
Post a Comment