Mgombea wa Uraisi kupitia ticket ya CUF Maalim Seif jana amegoma kutoa maamuzi na amesema yeye hana mamlaka ya kuamua bila ya kuwashirikisha makamishna na hawatambui uamuzi huo wa KUFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI na wanawasiliana na taasisi husika za kimataifa na kuwaomba mashirika kusaidia juu ya jambo hilo
(wali nazi)
No comments:
Post a Comment