Wewe ni mke mwema,,kitendo cha kuamua kurudi kwa mumeo ambae umetengana nae kwa muda hasaa baada ya kugundua anahitaji msaada wako!!(mungu akufungulie milango ya baraka)!!!!!!!!aiseee nimekuheshimu ni kitendo cha ushujaa,,huku kwetu mhhh ndo wangekomesha hasaa aone mwanaume atakavyoangaika na hivi kama alimtesa mhhhh ndo uwii
(wali nazi)
kweli uyu ni mwanamke shujaa
ReplyDelete