Friday, October 9, 2015
JIMAMA JIZI!!!!!!!!
Mama huyo pichani anajulikana kwa jina la SOPHIA SIRIWA anatokea moshi mjini ni MWIZI MZOEFU HATARI katika maduka mbalimbali hapa mjini!!huingia dukani kama mteja af huangalia wateja wengine kama wamejisahau na kuchagua nguo au bidhaa zingine,hutumia mwanya huo kuwaibia wateja walojisahau hand bag zao zenye pesa!!
haya jamani wenye ndg wa hili jimama ndo lishashikwa na lipo KITUONI pale MSIMBAZI POLISI...hima mumfuate maaana du hii sasa ni aibu lo!!!c ungeomba hata kazi za ndani upate pesa ki hulali??kazi kuwaibia wnzio wanaongaika kutafuta kwa jasho,,mxiuuuuuu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment