hiyo ni Wuanja wa SINONI jijini ARUSHA!ambapo mamilion ya wananchi wa jiji hilo walijitokeza katika mkutano huo wa mgombea uraisi kupitia tiketi ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO ,MH,RAISI MTARAJIWA EDWARD NGOYAYI LOWASSA alipowatembelea wana ARUSHA kuwaomba wampigie kura!!!haya sasa hayo ndo mambo ya kampeni jamani! na leo hii mchana ataungana na wanchi wa MOSHI MJINI!!!!Tuone huko nako cjui ndo kutakuwaje??MAANA NI HATARI TUPU!!wanamabadiliko wamechachamaa...,
No comments:
Post a Comment