Pages

Wednesday, November 18, 2015

ILIYOBAMBA LEO!!!!!!!!!!

                                                              ( bibie lulu)

nice one mamy wake,,ulipendeza hataari gauni zuri,,umerembwa vizuriii mpaka raha  jamani

CHEHEZE BARAKA WEEE!!!!!!!!!

Hahahahha haya dogo ,,,,inaelekea wee ni balaaa ee??haya umewapa nn hawa warembo mpaka watibuane kisa wewe?????mhhh haya jamani kuna ubuyu wa motoooo huo nawadondosheaaa  kuna
mashost 2 wa bongo movie namzungumzia Salma Jabu a.k.a Nisha na Husna Iddi  a.k.a Sajenti wapo katika varangati kuuubwa wakimgombea kijana huyu mdooogo BARAKA DA PRINCE



                                                                  ( Sajent katika pozi)

Naona vijana siku hizi mnakuja kasi hatari kwa kuwakamata madada zenu hatari ,,hatari!!!!!ndo,mambo ya kizungu ama?????hahah hatuangalii miaka babu!!!haya bwana kila tu yuko huru kufanya apendalo lkn ndo isizidi bwanaaaaa watatukosea heshima hawa!!! walau muwe mmewazidi hata mika 2,3,4, so mbaaaya

                                                                      ( nisha katika ubora wake)
  Wao ndo wanjua ukweli kamili kama kweli ama lah,,maana nimejitahidi kuwatafuta ili wabwage manyanga  lkn simu hazipokelewi na pindi ntakawapowapata ntawaletea umbea wooote  
 ee bwana mi staki uongo wasije kua wamzingiziwa bureeee maana watu nao hatari hatari!
 
                                                                                                          (wali nazi)                                                                                                                    

JIDE UMEKUBALI KUA HISTORIA????????

Kama kuna watu nilikua nawapa heshima basi ni wewe JIDE kama kuna mwanamuziki nilikua nampenda sanaaa basi ni wewe JIDE na kama kuna mdada mjasiriamali,muhangaikaji alokua ananivutia na kunipa hamasa basi ni wewe JIDE!!!!!!!!

     
Lkn kila nikikutafuta cku hizi ckuoni,,naulizia wapi upo kimyaaaa mhhhhh natafuta wapi unafanya maonyesho ya bendi yako kimyaa,,, naumia moyo wangu sababu umekubali nyimbo ulioitunga mwenyewe ikurudi mwenyewe.. juzi nafunga safari nije basi pale kwenye mgahawa wako ulokua unatufanya tujazane nikakuta jina limebadilishwa najiuliza UMEPABINAFSISHA?nikashidwa hata kunywa soda nikasepa huku nikikosa raha.

  Swali langu ULIKUA UNATEMBELEA NYOTA YA GADNER?mi nakataa sababu huyo GADNER mbona alikukuta unapambana???????why umeruhusu biashara zako zibaki historia?
unataka uniambie bila huyo jamaa huwezi songa?????NAKATAA PIA TENA SITAKI !!!!!!!!!!
 naamini bila yeye waweza,,,

          Maoni yangu,,em angalia wapi uliteleza then jipange upya...mi najua una watu kibao ambao unaweza kuwaomba wakushike mkono ukarudi yulee JIDE WANGU,Jide ninae mpenda,Jide ninae mkubali,,jipe nafasi ya kutafakari,kuanzia tabia yako mpaka  ufanyaji kazi wako,,,JIPANGE UPYA COMANDO,,chukua usemi huu ambao mi hua naupenda sana,,STRONG WILL SHAKE BUT NEVER COLLAPSE!!!!!!,MSHIRIKISHE MUNGU, utasimama upya

                                                                                                                                        .. (wali nazi)


STARS HAOO NJIAN KURUDI HOME

                                              (Taifa stars wakijiandaa na safari ya kurudi Tanzania)

Duh!!!!!!!!!!!mimi si shabiki wa mpira kabisaaaaaaaaaaa!!!!!!! lkn linapokuja swala uzalendo ndo napouweka utanzania wangu!!!! timu yangu ikicheza na nchi yeyote hua nafuatilia japo sina nnalolijua katika sanaa hii ya mpira,,,lkn huwez amini hua naumia hatari mpaka natamani kulia tunaposhindwa.
     
                    Hivi kuna nini jamani katika hawa wachezaji wetu??ina maana wao hawaumii kufungwa??au wanaona raha hawa kila cku tunavyowealalamikia?hivi lini watatupa raha tukajivunia uwepo wao?????????YAAN KAMA KUNDI LINANIUZI HAPA TANZANIA BASI NI LA WACHEZAJI MPIRA HASA HAWA TAIFA STARS!!!!!!!!!!(Nasema haya kwa uchngu hatari)


                                                                  (kikosi cha Taifa stars)

kweli lkn jamani magoli 7 kweli lkn jamani????????kweli lkn kweli lkn........
basi mimi nina wazo jamani   VILE VIWANJA VYA MPIRA BORA VIBINAFSISHWE ILI WAWEKEZAJI WAFUNGUE MAMALL AU KUMBI ZA SHEREHE MBALIMBALI
TUTAPATA PESA,,,kuliko kuwaachia hawa jamaa....wallahi tena

                                                                                                                       (wali nazi)

BOMOA BOMOA MWENGE

                      (baadhi ya wafanyabiashara wa eneneo lilobomolewa wakiwa na sintofahamu)
   
Bomoa bomoa ya waliojenga maeneo ambayo yamekatazwa na serikali imeanza kwa ghafla eneo la mwenge hali ambayo ilmeleta mtafaruku kwa wamiliki wa maeneo hayo ambayo kwa asilimia 100 ni maeneo yalopangishwa kwa wafanyabiashara,,,
                                       (baadhi ya eneo liliobomolewa)
 
 Waboamoaji hao walitinga na matingatinga hayo na kuanza kubomoa kwa fujo  iliyopelekea baadhi ya bidhaa kufunikwa na mabaki ya matofali,mabati,mbao pamoja na udongo uliotokana na ubomoaji huo.hali iliyopelekea wamiliki wa maeneo hayo kupata shida kubwa na mateso katika kuokoa mali zao.

   
                     ( pichan ni wafanyabiasha ndogondogo wa eneo hilo wakilinda mabak ya vitu)

Baadhi ya wafanyabiashara hao wameilalamikia serikali kwa kitendo cha kuvamia ghafla eneo hilo bila taarifa maalumu ya kuwapa wajiandae kutoka eneo husika kabla ya kubomoa.
"fikiria mpaka sasa hatujalipwa sisi ambao tuna frem za biashara af wanatuvamia tu wakati tulishajenga majengo yetu kabla ya matangazo yao ya kutaka kubomoa"alisikika mama neema ambaye ni mmoja wa waliokutwa na shida hiyo..nae Juma Khamis ambae ana steshenali eneo hilo alisema haya,,nanukuu "kwa nini aanze na sisi walalahoi asianze na hao MAFISADI PAPA anaosema atajenga mahakama yao?au anaogopa kuanza kuvunja kwa vigogo wenzie??aantaka tuingie mtaan tuanze kuua??mi naona hataki vijana tufanye kazi anata tudhurure alimalizia jama huyo kwa jazba."mwisho wa kunukuu...
     
       wazo langu naona serikali ingeweka wazi kuhusu ubomoaji huu na ingetoa taarifa siku 3 kabla ya ubomoaji ili wahusika waweze ondoa mali zao na kuzihifadhi vizuri,na ckuvamia tu wanaumiza wanachi
                                                                                                                               (wali nazi...)

Tuesday, November 17, 2015

SPIKA WA BUNGE LA 11 HUYU HAPA!!!!!!


                                                    (Mh.Job Ndungai)

Hatimae  Job Ndungai achaguliwa kua spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania ,ambapo litakua ndo bunge la 11 ukitoa 10 yaliopita... mhhhh haya sasa cjui viboko vitaendeleaa mwana wanee
                                                                                                    (wali nazi )

ILIYOBAMBA!

       
                     Nice style jamani! kapendeza hatari,,kajitengeneza safi hatari kajiremba vizuri                                                kulingana na style ya nywele zake!!!!!!!!!

JAMANI EM TUIACHE HII FAMILIA ITULIE!!!!!!!!!!!!





Jamani ifikie mahali inabidi tuwaachie maisha yao,,wallahi tena maana kila kona sa hivi ni mtoto wa platnam tu!!!!!!wako watu huko mikoani mpaka mitaa ya hapa dar wanaamini wazi kua tiffa si mtoto wa platnam INAKERA UJUE??
Mtoto mbona anaonekana kabisa wa platnam huyo??af hata kama c wake walimwengu mntaka nn?yeye mwenyewe kashasema kua TIFFA NI DAMU YAKE??ushahidi gan tena mwataka?kwa navyojua ki Africa baba akikubali mtoto hakuna mwingine wakupinga!!!!!!!lkn duhh jamaa hata kama antaka KICK bac nafikiri inamtesa hii maana huko uswahilin kuwabadilisha kua TIFFA C MWANA WA PLATNAM ni ngumu juzi nipo saloon nakuta watu mpaka wantaka pigana kisa wanasema platnamu analea mtoto c waake ahhhhh jaman!!!!!!!!!yanawahusu nn?fanyeni yenu bac
yeye ndo kashatambua kua TIFFA  ni wa kwake!!!!!!!!!!!!!!!!! 

                                                                    Mtoto Tiffa

BUNGE LA 11 KUANZA RASMI LEO!!!!!!

                                            Mbunge mteule wa Kongwa, Job Ndugai


Bunge la 11 linaanza leo na kutafanyika uchaguzi wa Spika wa Bunge na Majina ya watu 8 wanaowania nafasi ya uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yaliyopokelewa na katibu wa bunge Dr.Thomas Kashilila ni haya hapa.

A: Peter Sarungi (AFP)
B: Hassan Kisabiya (N.R.A)
C: Dkt Godfrey Malisa (CCK)
D: Job Ndugai (CCM)
E: Goodluck Ole Medeye (CHADEMA)
F: Richard Lymo (T.L.P)
G: Hashimu Rungwe (CHAUMA)
H: Robert Kisinini (DP)

Monday, November 16, 2015

TAHADHARI!!!!!!!TAHADHARI!!!TAHADHARI!


jana katika basi fulani ctaki kulitaja kuna wanafunzi na dokta mmoja wakisafiri toka moro kuja dar ....walikaa na abiria wengine wakiwa na magazeti ndani ya magazeti kulikua na majamani tuwe makini katika haya mabasi tunayosafiri,kuna wanafuniz na dokta mmoja wakisafiri toka morogoro kuja dar jin, walikaa na adawa ya kulevya..kila walipokua wakifungua ukurasa ndo wanavuta,,,wameibiwa kila kiitu(BAHATI MBAYA PICHA ZIMENIGOMEA)


 ANGALIZO:USIPENDE KUAZIMA GAZETI UKIWA NDANI YA GARI LA ABIRIA

KAMA NIMEOTA HIVII!!!


Kuna kikao IKULU ya Zanzibar kuhusu suala la uchaguzi,  waliohudhuria ni hao pichan ambao ni Rais mstafu Amani  Karume,Maalim Seif,Ali Hassan Mwinyi,Ali Mohamed Shein,Raisi mstaafu Jakaya Kikwete,Salim Ahmad Salim,Jonathan Gudluck,balozi wa uingereza aliekuwepo Tazania,ujumbe wa Umoja wa Africa pia Jk ndo mwenyekiti na ujumbe Bankmoo wawakilishi wa UN,,,em tusubiri maana bado hakiajaisha tutajuzana


Monday, November 9, 2015

VIOJA VYA BABAFUNKY

                                             (Babafunky akiwa na kewe pamoja na wapambe)

Mchekeshaji Babafunky ametoa kali ya mwaka baada ya kufunga ndoa na mkewe Nelly huku yeye na mpambe wake wakiwa wametupia kaptula za blue na mashati ya pinki.
 ndoa hiyo ambayo ilifungwa mwezi uliopita huko lagos na kuudhuliwa na watu wengi...na imelezwa kua ndoa hiyo ilikua ya aina yake kutokana kua na mpangilio mnzuri kuanzia mavaz mapaka  sherehe nzima kwa ujumla.

                                               (Babafunky na mkewe Nelly)

HONGERA SAMATTA

                                (Mbwana samatta alievalia jezi nyeupe akionyesha umahili wake)

Mshambuliaji wa wa Kimataifa wa Tanzania,aliendika HISTORIA ya kuwa MTANZANIA wa kwanza kuwa mfungaji bora Afrika.  katika fainali ya pili ya ligi ya Mabingwa Afrika Samatta ameweza funga magoli 9, na kuweza kuipatia timu yake ushindi,

                                                    (Samatta katika poz)

HAYA SASA!!!!!!!!!!!




duh!!!!!!!! sasa mshikaji sijui itakuwaje?maana ulikua unaingia IKULU kama CHOO cha STAND
 Sijui na kwa huyu mh,Magufuli itakua hivyohivyo??nasubiria ili nione maana tenda za MATAMASHA ya IKULU nasikia ulikua unakamata hatari!!!!!!!!!!!!!

NDOTO YANGU!!!!!!!!!


Nimeota elimu bure imefeli, serikali haina HELA halmashauri hazina bajeti ya elimu bure.....eti bajeti ilishapitishwa hadi july 2016 ..sasa cjui tulidanganywa??sasa sijui hii sera ya ELIMU BURE ,, sijui walikopy???haikuwepo ccm???!!!!!!!!!!!!NAOMBA MNAOJUA KUTAFASIRI NDOTO MNISAIDIE JAMANI,,,,,,,,                                                                                                     

Thursday, October 29, 2015

LOWASSA AITAKA NEC ISITISHE MATOKEO



Mgombea Urais kwa tiketi ya ukawa  Edward Lowassa ameitaka tume ya Taifa  ya uchaguzi (NEC) kusitisha kutangaza matokeo ya kura za Uraisi wa Jamhuri ya muungano wa tanzania na kuanza upya uhakikiwa matokeo inayopokea kutoka majimbo mbali mbali nchini.
             Aliwaeleza waandishi wa habari jana kua, matokeo hayo yanatakiwa kuhesabiwa upya katika majimbo yote264 bila kutumia mfumo wa kuhesabu matokeo wa NEC aliodai unatumiwa na tume hiyo na chama cha mapinduzi (ccm) kuchakachua matokeo.

MAALIM APINGA UCHAGUZI KURUDIA

Mgombea wa Uraisi kupitia ticket ya CUF Maalim Seif jana amegoma kutoa maamuzi na amesema yeye hana mamlaka ya kuamua bila ya kuwashirikisha makamishna na hawatambui uamuzi huo wa KUFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI na wanawasiliana na taasisi husika za kimataifa na kuwaomba mashirika kusaidia juu ya jambo hilo
                                                                                                      
                                                                                                               (wali nazi)

KHLOE UNASTAHILI PONGEZI!!!!!!!!

Wewe ni mke mwema,,kitendo cha kuamua kurudi kwa mumeo ambae umetengana nae kwa muda hasaa baada ya kugundua anahitaji msaada wako!!(mungu akufungulie milango ya baraka)!!!!!!!!aiseee nimekuheshimu ni kitendo cha ushujaa,,huku kwetu mhhh ndo wangekomesha hasaa aone mwanaume atakavyoangaika na hivi kama alimtesa mhhhh ndo uwii
                                                                                                 
                                                                                                                                       (wali nazi)

ILIYOBAMBA

Mhhhhh no comment..........una jambo kuhusu hii picha em nidondosheee,,,,,,.
                                                                                                                     
                                                                                                                                           (wali nazi)

SAWAA UMEMKABIDHI KAZI ALIOKUTUMA!! LKN JE ULIKUMBUKA KUMWAMBIA SHIDA ZETU SISI WASANII??

Ni jambo lililo jema sana kama ukitumwa kazi ukaifanya ipasavyo na ukafanikiwa,,ni raha sana unapoenda ikabidhi hiyo kazi kwa makeke,,maaana unajua imetimia(Kama ulivyoikabidhi kazi kuwastua wananchi ulotumwa na  MAGUFULI kama si CCM),,MASWALI YANGU KWAKO RAY KIGOSI
  1:Ulimwambia cosota wanavyotunyonya?na wala hawasimamii kazi zetu toka serikalin?  
  2;Ulimwambia  bodi ya filamu wanavyoua soko la filamu tanzania?
  3:Ulimwambia mtaani kuna mabanda yanakodisha filamu bila sisi kupata faida?
  4:Ulimwambia kabla hajafungua mahakama ya MAFISADI afungue mahakama ya wezi wa filamu?
Au hukuyakumbuka haya?uliwaza kua kampen ni kipindi cha mpito tu?sijui kama ulikumbuka 99% ya wasanii ni mafukara kupindukia,,hata hili la kuwaomba TRA nayo ipunguze kodi ya filamu za kwetu na iongeze kodi zaidi kwa filamu za nje??nilitegemea ungemwambia MAGUFULI KAZI YAKO ULIONITUMA NIMEIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA NASUBIRI NAWE UTUKUMBUKE WASANII KATIKA UFALME WAKO!!lakini sivyo!!!ndiyooo aliwatuma na mlitumika sasa ni wajibu wake  KUWATUMIKIA!!!!!!!eeee kila mla huliwa
 SIWEZI KUA ADUI KWA KUSEMA UKWELI...............

                                                                                                  .ni mimi (wali nazi)
 

Thursday, October 22, 2015

WAKALI WA STYLE!!!!!!!!!!!

                                                      duhhhh!!!!!!!!!!

                                                       hatari tupu,,,,,!!!!!!!!!!
                                                           eee bwana eee,,,!!!
                                                        lovely,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!
familia ya pesdaa hatariii!!!!!!!!! never ever
so wengine  kutwaa matenge tu! tena style ileile kha!!!!!!!!!!!!!!wakati kuna mishono kibao mitamu ambayo ukitumia hichohicho kitenge unanoga hatari...
 

TUCHEKE KIDOGO!!!!!!!!!

No comment!!!!!!!!!hahahah uwiiii

YEES!!!!!!!!!!!WE NEED MABADIRIKO!!!!!!!!!

Mmeteseka sana,,mmelia sanna,mmehangaika sana,,,,,,,SASA NI WAKATI WA KUFUTA CHOZI NA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI KWA TAIFA LETU!!!!!!!!!!!!

MAMBO YA BBY COME BACK!!!!!!!!!!!!

 Looo!!!!!!kweli mahusiano ya mtu ucyaingilie,,,,haya wale vizabinazabina kutwa kwenye ndoa za watu!!!!AIBU YENU HIYO IMEWAKUTA!!!!!!!!!chezea mapenzi wewe!!!!!!Esma mwaya funga milango na madirisha yaache ya mitaan yapite babu!!!!!!!UMESHARUDIANA NA MUMEO TULIENI MULEE MTOTO WENU KWA MAPENZI MOTO!!!!!!!!!!!!!!!!!

Tuesday, October 20, 2015

MIGOGORO YA MAPENZI!




Wanaume si wepesi kuvumilia,,hii ina maana ya kwamba wanaume wengi(si wote) ndiyo wagumu sana linapokuja suala la kutatua matatizo ya ndoa,,,, wanawake hupenda sana yaishe...
   Inakuwaje mwanaume akifumaniwa?au inakuawaje mwanamke akifumaniwa?
    unaweza kujua  NANI ATASAMEHE NA NANI ATAFUKUZWA KABISAA??

VITUKO VYA UCHAGUZI!

Hapa kweli NI KAZI TU!itakua  kweli kazi tena kazi hasa katika kazi hii!ni balaa,,,

Monday, October 19, 2015

KIMENUKA!!!!!

                                    ( Katika picha ni Mh.Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye)

Shamba la waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye lililopo Bunjunje kidogo ya jiji la Dar es salaam limevamiwa na vijana wasiojulika na kugawana eneo lote.

    Taarifa kutoka Bunju zinasema vijana hao walianza zoezi hilo jana majira ya subuhi ambapo kila mmoja alisimama kwenye eneo analotaka kukatiwa ambapo wengine walianza maandalizi ya ujenz.
Vijana hao walisikika wakisema wamechoka kuangalia maeneo makubwa wanayomiliki viongozi yakikaa bila kuendelezwa wakati wao hawana ardhi
  Na nasemakana maandali hayo ya uvamizi yalianza tangu wiki iliyopita.

ILIYOBAMBA

Duhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!yaan mpaka raha

Saturday, October 17, 2015

                                        (kocha msaidizi wa timu ya yanga Juma Mwambusi)



Inawezekana baadhi ya wadau walikuwa hawamfahamu sana Mwambusi unajua kwa nn?? huyu jamaa si mmoja kati ya makocha waongeaji sana kwenye vyombo vya habari, ila ki ukweli ana mafanikio mengine makubwa zaidi kwani ndiye aliyeiwezesha timu ya Mkoa wa Mbeya ‘Mapinduzi Stars’ kuchukua ubingwa wa Kombe la Taifa mara mbili tofauti, Pia wadau wa soka walikuwa hawamfahamu hadi pale alipoipandisha Mbeya City katika Ligi Kuu msimu wa 2013/14 na kuifanya iwe tishio kubwa kwenye msimu wake wa kwanza tu, ambapo timu hiyo ilifanikiwa kucheza kwa kiwango kikubwa na kumaliza ikiwa nafasi ya tatu ikiipikua Simba iliyoangukia nafasi ya nne.
     
  Mwambusi kwa sasa amejiunga na Yanga akienda kufanya kazi kama Kocha Msaidizi na imani ndoto zake za kwenda kushiriki michuano ya kimataifa zitatimia..nenda mjombaaa,,, najua utajifunza mbinu nyingi za kiuchezaji katika michuano hii mikubwa nafasi ambayo ingekua ngumu kuipata kama bado ungebaki MBEYA CITY. Na am sure daraja lako litapanda kwa kufanya kazi na kocha hans........

UWIII SUGU AUCHUNA BDAY YA MWANAE!!!!!!!!!




Sawa!!!!!!!!!!ilikua vyema sana kama baba wa mtoto kuwepo kwenye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mtoto wake !!!!!!!!Lkn ukifikiria saaana kuna zidi ya jambo ambalo nadhan Mh. Sugu Kwa makusudi kabisa kaamua kuingia mtini katika shughuli hiii!!!!!!!!!!!!!naotea tu,,,,,inawezekana tabia zako za uvaaji mbaya ndizo zilizomtisha jamaa kutokea katika inshu hiyo!!!!!!!! maana wewe ukawii kutoa VICHWA VYA HABARI katika magazeti,,wallah tena  c unaju jamaa ni mh????af yuko kwenye mbio za kutetea kiti chake kule mbeya?????haya kwa vivazi hivi MH ATAUNGANA NAWE?? si utamuharibia katika michakato yake????? maana kila party lazima uwe kituko katika jamiii... ndiyo hua unaharibu bwana.....!!!! marafiki wa mm na fans wangu semeni ukweli kwenye hili,.dondoshen poits wajamen........



                                                       (faiza katika ubora wake wa mavazi)

laana tupu!!!!!!!     

PETER KIBATALA ATINGA MAHAKAMAN KUISHTAKI NEC



                                                                    (Peter Kibatala)


Mgombea ubunge wa viti maalumu katika jimbo la kilombero kupitia chadema,Amy Pascience Kibatala amefungua kesi hiyo kwa mwanasheria mkuu wa serikali,,akiomba litolewe tamko kuhusu tafsiri ya kifungu cha 104 (1) cha sheria ya Taifa ya uchaguzi,sura ya 343 ilivyorejewa mwaka 2010..Kibatala amefungua kesi hiyo dhidi ya mwanasheria mkuu wa serikali(AG) na Mwenyekiti wa NEC,,chini ya hati ya dharura. shauri namba 37 la mwaka 2015,limefunguliwa baada ya nec kuwataka wananchi,baada ya kupiga kura oktoba 25,warudi nyumbani huku UKAWA unaondwa na CHADEMA ,CUF,NCCR-Mageuzi na NLDwakihimiza wanachama na wafuasi wao kulinda kura kwa kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura kama sheria inavyosema.......ikumbukwe zimebaki SIKU 7  TU!!!!!!!!!!!!!!!je atatimiza anayoyataka??????????






Thursday, October 15, 2015

BREAKING NEWS!!!!!!!!!!!!!!!!!!

 MWENYEKITI WA NLD,,,, CHAMA KINACHOUNDA UMOJA WA UKAWA MZEE MAKAIDI(Mzee wa moto moto motoooo) AMEFARIKI DUNIA  AKIWA LINDI SAA SITA MCHANA HUU,,,,.chanzo cha kifo ni ugonjwa moyo
                       (Mbele yake nyuma yetu!mungu amlaze mahali pema peponi type ameen)

MBIO ZA ARSENAL!!!!


   Arsenal iko mbioni kumuongezea mkataba ALEXIS  SANCHEZ ambae kwa msimu wa pili mfululizo ameibuka kua staa mkubwa klabuni hapo....kwa maana hiyo ni wazi REAL MADRID inammendea staa huyo baada ya kuona kiwango chake kinapanda kwa kasi.! italazimika kufanya kazi ya ziada katika kuhakikisha inamnasa staha huyo ili kutimiza ndoto zake.




Sikia tambo za kocha wa AZAM FC... alisema,,, katika mechi yao ya keshokutwa Jumamosi amekuja kivingine akiwa ameandaa sapraizi tatu za kuiangamiza Yanga na kama zitafanya kazi, basi Jangwani wajiandae kula kipigo kwani msimu huu hawataki masihara hata kidogo
“Nimeiandalia Yanga sapraizi tatu kwa ajili ya mechi hiyo, kama ikishindwa kwenda nazo vizuri, lazima watupatie matokeo, hivyo ndivyo tulivyowafunga mwaka 2013 ambapo niliwawekea Kimwaga na Maliki (Farid) wakashindwa kuwakaba,” alisema Hall
“Kwa sasa nina watu wawili muhimu, yupo Kipre Bolou ambaye amepona majeraha yake, yupo fiti na anataka kucheza katika mechi hiyo, hawajamuona siku nyingi hivyo atakuwa na mambo mageni kwao. HAYA TUONE JUMAMOSI SI MBALI TUTAJUA KATI YA TIMU HIZI MBILI(yanga na azam) NANI ATAAMKA KIDEDEA???????


wachezaji wa timu ya yanga


wachezaji wa timu ya azam fc